Dua baada ya kutawadha.

1

( 13 ) “Nakiri kwa moyo na kusema kwa ulimi kwamba hapana mola apasae kuabudiwa kwa haki ila ni Mwenyezi Mungu, peke yake,wala hana mshirika wake, na ninakiri kwamba Muhammad ( ص ) ni mja wake na ni mtume wake.”

2

( 14 ) “Ewe Mwenyezi Mungu nijaalie niwe miongoni mwa wale wanaoomba msamaha, na nijaalie miongoni mwa wale walio safi.”

3

( 15 ) “Utakatifu ni wako, Ewe Mola wangu, na shukrani zote zina rudi kwako, nakiri kwamba hapana apasae kuabudiwa kwa haki ila ni Wewe, naomba msamaha wako, nanarejea kwako (kwaku tubia)”.

Zaker copied