Dua ya kujilinda na Dajjal.

1

(199) ‘Yoyote anaehifadhi kwa moyo aya kumi za mwanzo wa Suratul-Kahf atakuwa na kinga ya kujiepusha na Dajjal. Pia ni katika Sunnah kujilinda na Mwenyezi Mungu kutokana na fitna ya Dajjal baada ya tashahhud ya mwisho katika kila swala.

Zaker copied