Dua ya anaekutana na adui au mwenye kutawala.

1

( 126 ) “Ewe Mwenyezi Mungu hakika sisi tunakufanya Wewe uwe katika vifua vyao, na tunajikinga kwako na shari zao.”

2

( 127 ) “Ewe Mwenyezi Mungu Wewe ndie msaidizi wangu, nawe ndie mnusuru wangu, kwako ninazunguka, na kwako ninavamia, na kwako ninapigana.”

3

( 128 ) “Mwenyezi Mungu anatutosheleza, naye ni mbora wa kutegemewa.”

Zaker copied