Anachosema na kufanya anaposikia maumivu mwilini.

1

(243) ‘Weka mkono wako juu ya sehemu inayokuuma na kisha useme: “Kwa jina la Mwenyezi Mungu.” (mara tatu). Kisha useme mara saba: “Najilinda kwa Mwenyezi Mungu na kwa uwezo wake kutokana na shari ya ninachokisikia na ninachokiogopa.”

Zaker copied