Dua inayosomwa baina ya Nguzo ya Yemen na Hajar Al Aswad (katika Al Kaaba).

1

Alikuwa Mtume (ص ) akisema baina yake: ( 235 ) “Ewe Mwenyezi Mungu tupe katika dunia hii wema, na katika akhera wema, na utukinge na adhabu ya moto.”

Zaker copied