Anachosema mtu iliyemjia habari ya kufurahisha au ya kusikitisha.

1

(218) Alikuwa Mtume ( ص ) ikimjia habari ya kufurahisha akisema: “Sifa njema ni za Mwenyezi Mungu ambaye kwa neema yake yanatimia mambo mema.” Na ikimjia habari ya kusikitisha husema: “Sifa njema ni za Mwenyezi Mungu kwa hali zote.”

Zaker copied